Netanyahu
Senior Member
- Oct 2, 2008
- 147
- 22
Shirika linallotambua ndoa za mashoga latua TANZANIA
Katika gazeti la Tanzania la Daily News tarehe 22 October 2008 Ukurasa wa 13 Kuna shirika linaitwa PADAIDS lenye website www.Padaids.org limetangaza nafasi za kazi kwa watanzania kujiunga nalo.
Shirika hilo kufuatana na website yao linajulikana kama Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation.
Moja ya mafao wanayotoa kwa waajiriwa wao chini ya heading -Benefits at the Foundation-Caring for Your Health wanasema ni
The Foundation offers medical, dental, and vision coverage for eligible same-sex domestic partners.
Ni shirika linalotambua ndoa za jinsia moja na liko tayari kuwapa maruprupu ya matibabu ya watu wa aina hiyo wao mashoga wa kiume au kike ili mradi wameoana kihalali.
Na sasa hivi liko Tanzania
Anwani waliyoweka gazetini kuonyesha walipo ofisi zao kwenye website yao ni:
P.O. Box1628,
Plot #576 Chole Road, Masaki
Dar Es Salaam, Tanzania
Phone: 255-22-260-1692/4
Fax: 255-22-260-1696
Lakini anwani ya Partners wao Tanzania waliowaonyesha gazetini Kuwa CV zipelekwe huko ni :
The human resource Officer,EGPAF
P.O. Box1628,
OYSTERBAY,HAILE SELASIE ROAD PLOT 8 & 10
Dar Es Salaam, Tanzania
Phone: 255-22-260-1692/4
Fax: 255-22-260-1696
Ni vizuri au vibaya waajiri kuanza kuzitambua ndoa za mashoga wa kike na kiume Tanzania kuiga mfano wa shirika hilo na hao partners wao?
Serikali inasemaje? Mapadri na mashekhe na wapagani mnasemaje? Na wana jamii forum mnasemaje? Any Comment?
Katika gazeti la Tanzania la Daily News tarehe 22 October 2008 Ukurasa wa 13 Kuna shirika linaitwa PADAIDS lenye website www.Padaids.org limetangaza nafasi za kazi kwa watanzania kujiunga nalo.
Shirika hilo kufuatana na website yao linajulikana kama Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation.
Moja ya mafao wanayotoa kwa waajiriwa wao chini ya heading -Benefits at the Foundation-Caring for Your Health wanasema ni
The Foundation offers medical, dental, and vision coverage for eligible same-sex domestic partners.
Ni shirika linalotambua ndoa za jinsia moja na liko tayari kuwapa maruprupu ya matibabu ya watu wa aina hiyo wao mashoga wa kiume au kike ili mradi wameoana kihalali.
Na sasa hivi liko Tanzania
Anwani waliyoweka gazetini kuonyesha walipo ofisi zao kwenye website yao ni:
P.O. Box1628,
Plot #576 Chole Road, Masaki
Dar Es Salaam, Tanzania
Phone: 255-22-260-1692/4
Fax: 255-22-260-1696
Lakini anwani ya Partners wao Tanzania waliowaonyesha gazetini Kuwa CV zipelekwe huko ni :
The human resource Officer,EGPAF
P.O. Box1628,
OYSTERBAY,HAILE SELASIE ROAD PLOT 8 & 10
Dar Es Salaam, Tanzania
Phone: 255-22-260-1692/4
Fax: 255-22-260-1696
Ni vizuri au vibaya waajiri kuanza kuzitambua ndoa za mashoga wa kike na kiume Tanzania kuiga mfano wa shirika hilo na hao partners wao?
Serikali inasemaje? Mapadri na mashekhe na wapagani mnasemaje? Na wana jamii forum mnasemaje? Any Comment?
Last edited by a moderator: