Shirika la umeme la marekani kujenga mitambo Dodoma...kuna siri gani?

Nadhani hiyo itasaidia sana kuua rushwa nchini kwetu. Wachina ni watoa rushwa sana ili kukamilisha haja yao, jambo ambalo ni mwiko sana kwa wamarekani. Kwa hiyo wamarekani wakiwa na influence sana nchini kwetu itakuwa jambo zuri sana. Kumbuka kuwa hata maendeleo ya kiuchumi china yalitokana na uwekezaji mzito wa marekani mwanzoni mwa miaka ya tisini.
 
Nadhani hiyo itasaidia sana kuua rushwa nchini kwetu. Wachina ni watoa rushwa sana ili kukamilisha haja yao, jambo ambalo ni mwiko sana kwa wamarekani. Kwa hiyo wamarekani wakiwa na influence sana nchini kwetu itakuwa jambo zuri sana. Kumbuka kuwa hata maendeleo ya kiuchumi china yalitokana na uwekezaji mzito wa marekani mwanzoni mwa miaka ya tisini.

  • BAE wenyewe waliombwa rushwa wakatoa we unategmea mtu anataka ufanya business agme kutoa Rushwa
  • Angalia vita ya BOEING ya USA na AIRBUS ya ulaya. Boeing anazadiwa sababu ya rushwa.
So usiwazingie tu wachina kwa kutoa rushwa wa kwanza ulaumiwa ni yule anayeonyesha hawezi utoa haki bila kupewa rushwa.


Pili wamarekani wakiwa na influnce haina uzuro wowote tofauti na wachina ni mawazo potofu. Sana sasana usisangae unakataa kampuni mama ya china inakuja kampuni mtoto yachina yenye tawi marekani. teh teh teh So unawafaidisha wachina na wamerekani . Why


Wake up mkuu hate ya china haisadii zaidi tutaendelea kunyonywa. Wajerumani UK france na hata US wanaitambua china.
 
Kitakachokuja kutusikitisha hata baadae ni sisi kutoweza kutambua nafasi yetu katika vita hivo vya China na Marekani. We cannot have it both wayz. Ni lazima tuchague upande na upande tunaouchagua lazima tuufahamu vizuri, faida zake na hasara zake, risks zake na vitu vingine. Tutoke kwenye kuona umeme kama ndio tatizo letu kubwa tu. Je mifumo yetu ya kiuendeshaji inaweza kufaidisha taifa, au inamfaidisha tuliyemchagua??

Tusije kuishia kuona umeme wa Dodoma maana yake ni kuwasha taa ndani na mitaani. Kufurahia kuona hatuna mgao kwa sababu hatuko ktk nyumba iliyo na kiza kinene!!

We should thik outside the box and beyond what we see.
Hapo red umekonga sana mtima wama wangu,BIG UP!!
 
Kuna agenda za siri hapa, wale wale!

Mawazo ya kimasikini tu.
Wao wanakuja kuwekeze, tunachotakiwa ni kuandaa mkata mzuri utakao wafaidi wa TZ na wao pia kama wafanyabiashara.
Mi sioni shida, kwangu mimi hii ni neema maana tunataka umeme.
Au mnataka tuendelee na giza ili mpate porojo za kila siku.
Acheni mawazo ya kimasikini, waza kwa ujasiri.
 
Kama ni kweli kuna nia ya dhati ni jambo jema ila kwa takwimu zangu China kwa TZ IMPORT>EXPORT, na kama ingekuwa hivyo tunajitambua kuwa sisi ni big deal mbona hatutumii advantage kwa kutowapa misamaha ya kodi,,rejea mchango wa Zitto kabwe leo asubuhi, Ila hapo red nakuunga mkono mkuu
import many junks export little but valuables
 
Tz jamani ni shamba la bibi sasa mnaoshangaa ata sijui why mnashangaa as if ni wageni.
Kwa viongozi tulionao sasa tutaendelea kuibiwa tuu mpaka tufanye U turn approach
 
In reality, tunaexport more zaidi kuliko import. Wachina wanachukua raw material kwa bei ya chini sana kulinganisha na import zao feki. Ukienda bandarini Dar, utaona export ya China ilivyo juu ktk raw materials.

Weka takwimu hapa, usilete mazungumzo ya magengeni.
 
wajenge tu...
Oke kujenga wote tunataka ila kwani lazima wajenge Dodoma??? hasa ukizingatia ni Taifa kubwa kwa nini wasijenge kagera au Mtwara au hata kigoma halafu watusambazie nchi nzima wamekimbilia palepale jikoni,,kulikoni"!!!!?
 
Nionavyo mimi hata sasa kwanza kabisa hii kampuni inayokuja ni ya watu binafsi tu na wala si shirika la umeme la Marekani kama ilivo tangazwa katika vyombo vya habari. Kampuni hii haina tofauti yeyote na kampuni ya Symbion au Richmond.

Suala la kampuni inayoyajwai kuwa located Dodoma nadhani ni moja kati ya target za msingi kabisa kwa wamarekani kuhodhi rasilimali uranium iliyopo wilaya ya Bahi mkoani Dodoma. Mfaham pia hawa wamarekani wameshachukua maeneo yenye uranium huko Ruvuma. Serikali ya marekani itatukamata kwa kupitia makampuni yake; njia ile ile iliyotumiwa na ujio wa wakoloni miaka ya nyuma (msisahau walitumia uwekezaji wa makampuni makubwa kututawala na msisahau hawa mabeberu wameshaihodhi sekta nyeti ya madini nchi hii). Ni wakati wa watanzania wote tuungane kuwawajibisha viongozi wetu wa kisiasa wanaoiuza hii nchi.
 
U have hit the point, they r preparin reliable power for their uranium processing plants.
Kumekucha, kumbe kuna mambo mengi sana yamejificha hapa, maana mimi ckujua hayo mambo ya Uranium nashukuru mmenijuza.
 
Mawazo ya kimasikini tu.
Wao wanakuja kuwekeze, tunachotakiwa ni kuandaa mkata mzuri utakao wafaidi wa TZ na wao pia kama wafanyabiashara.
Mi sioni shida, kwangu mimi hii ni neema maana tunataka umeme.
Au mnataka tuendelee na giza ili mpate porojo za kila siku.
Acheni mawazo ya kimasikini, waza kwa ujasiri.


Mkuu mji mpya sawa hivyo ndivyo kila mtu anapenda lakini tuangalie je matokeo yake baadae kwa watoto etu na wajukuu zetu .
 
Back
Top Bottom