Jaxx
Senior Member
- Mar 22, 2011
- 129
- 28
Kumekuwa na ujio mkubwa Viongozi Maarufu wengi kutoka Marekani kuja tanzania na hata Matajiri maarufu wa dunia kutoka marekani kama Mr & Mrs Bill Gate, halafu ghafla shirika la Umeme la marekani limeonyesha nia ya kuwekeza hapa nchini,mimi nakuwa na wasiwasi sana na uwazi wa miradi hii, hebu tusaidiane mawazo,,Isije kuwa Richmond nyingine ndo inanyemelea taifa!!!!