Shinyanga university

Daaah this is our country Tanzania, nimependa sana hiyo admin block!! Daaah nimecheka sana mbavu zangu zinaumaa jamani!!! Kweli nambari wani ni chukua chako mapema!
 
Mkuu alliye- paste picha ya UDOM, kamwe yai lenye rangi nyeupe, haliwezi kuwa na rangi nyeusi hata siku moja!
Miaka 50 ya uhuru, we anticipated to have more than 50 UDOMs now. Angalia zile nchi za Far -East, zamani zikiitwa Indo-China,
wakati tunapata uhuru mwaka1961, uchumi wetu ulikuwa sawa na nchi hizo, lakini haitatokea tukakutana nazo kimaendeleo!
Fursa nyingi tunazo, ardhi kubwa kwa ajili ya kilimo, mbuga za wanyama(utalii), misitu kedekede, madini ya kila aina - and to make matters worse, TZ has become one of the fastest-emerging gold producers in Africa, and is now the continent's third-largest gold producing country after South Africa and Ghana! Dear my friend, what benefits do we get from mining Industry ?
Mkuu ebu paste UDOMs nyingine kama 10 tu tuone.
 
Back
Top Bottom