Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Mabadiliko si siku moja ni mchakato, hivyo usije ukadhani hawa watu wamelala, Kimya kingi ......
Hapo umenena shule yako ya uhakika ulisomeshwa na ukaelimika na kupata maarifaaaaaa.Huyu ng'wanangwa analeta ukabila, mabadiliko ni mchakato si kama anavyorahisisha na kudharau mabadiliko yaliyofikiwa na wana-shinyanga.Big up Ngoko