Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Nasubiria tamko la manumba.
Watampa Chago-njaa aongelee tukio.
Nasubiria tamko la manumba.
Sikia mkuu umenielewa vibaya siwezi kumtisha hata kidogo jaribu kuangalia namna ambavyo lu-ma-ga alivyofunguka kwenye coment zake,amekwenda kwa spidi kubwa sana na kashusha vitu vizito ambavyo vinaonekana vina ukweli mkubwa ndani yake,sasa kwa mtu mwenye busara kama mimi na mtu ambaye.........nt.ndiyo maana nimemwambia kwamba a take time kidogo katika kushusha vigongo hivy,tunataka tuvione ndiyo lakini aende hatua kwa hatua.
kwa sababu ametiririka kwa kasi mnooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
nasubiria tamko la manumba.
nahisi atasema hivi....... "yule mwanchama wa chadema alikuwa anataka kurusha rungu kwa watu waliokuwa kwenye mkutano basi akaangukia kwenye kitu chenye ncha kari kikamjeruhi, polisi wanaenderea na upepelezi kwa ajili ya kumchukulia hatua huyu mtu ariyeumia".
Tumesema mara kadhaa kwamba hawa watu ni wakatili kuliko hata KANU na ZANU PF. Tulikuwa hatujaona ukatili wao kwa sababu palikuwa hapajotokea chama cha kuwatisha kuwatoa madarakani. Bahati mbaya walio nayo ni kwamba watanzania wa leo hawatishiki tena na kwa hakikia hawana uwezo wa kuwaua watu wote wanaotaka mabadiliko katika nchi hii. Huu unyama wanaouendeleza utasaidia tu kuharakisha kuondoka kwao madarakani.
Tunamuombea huyo kamanda huko Shinyanga Mungu amuponye.