Jiwejeusi
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 754
- 131
Lu-ma-ga.Tunakupenda bado tunakuhitaji nenda taratibu usitoboe sana bado tuna muda mrefu humu ndani punguza spidi jamaa yangu,bado nahitaji mchango wako,isipokua umekua na spidi tangu hii thread imekuwa hewani,hoja zako nzuri nakuunga mkono lakini twende taratibu.punguza kidoogo.
Kumwambia lumaga apunguze spidi ni kumtia uoga. Uoga ni mwiko kwa great thinkers. Lumaga funguka. Ulizaliwa siku moja na utakufa siku moja.