ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
mamaaa ndo ccm wanayoitetea watu hapa jf mpaka wanatukanana, ccm haifai hata kuwa chama cha upinzani kwa hali hii.Huyu GAKI alikuwa jambazi wa magari sana miaka ya 1990-1995 amepata pesa baada ya yeye na swahiba wake salumu mbuzi kupewa network wakati JK akitafuta kuingia ikulu, pia wamekiibia sana chama cha ushirika na kuwadhurumu mameneja wa shirecu.kifupi viongozi wa ccm shinyaga wote ni wafanyabiashara HARAMU utajiri wao ni questionable wana-shy town wanahitaji kufanya kweli si kupiga kura na kuondoka kama walivyofanya kwa maselle kumpa ujiko asiostahili.Uchaguzi wa mwawaza lazima uwafute machozi wana CDM kwa kupokwa ushindi wa marehemu shelembi.