commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
Huu unyama msishangae sana kadri siku zinavyozidi kwenda watafanya mengi sana ya kutisha mauaji na utekaji, na utesaji woote watakaokuwa against nao, mpaka hamtaamini.
Kamati ya usalama na makachero wa CDM,na Wale usalama wa taifa mlioupande wa CDM, kuweni makini sana, jk yuko na baraka zoote za haya yanayotokea na mauji yanakuja, hata maneno yake ya jana dodoma yanaonyesha kuwa anajua maji yameshamzidi unga ndio maana anaasema chama chetu kinachukiwa sana, na kusemwa kwamba uongozi ni wakununua tu, so anajua wananchi wengi hawakotayari kuona wizi unaendelezwa na ccm.
Sasa kwa sababu wao ccm wanajeshi la polisi, usalama wa taifa uchwaara, na matakukuru jina tu watafanya kila njia kuhakikisha wanabaki madarakani, Sisi tujilinde wenyewe hata ikibidi kwa kulipana posho tu, watatuuua sana mpaka 2015 hamtaamini kama hii ndio tanzania...
Mungu wetu fanya kitu juu ya hawa wezi, mashetani yasiyo na huruma, yatatokea mengi sana nduguzangu...ndio maana jk yuko kimya anzia mara, songea, morogoro, iringa, zanzibar, udini(uamsho) nakadhalika, Mungu ampe nguvu kamanda.... Pamoja tutashinda
Kamati ya usalama na makachero wa CDM,na Wale usalama wa taifa mlioupande wa CDM, kuweni makini sana, jk yuko na baraka zoote za haya yanayotokea na mauji yanakuja, hata maneno yake ya jana dodoma yanaonyesha kuwa anajua maji yameshamzidi unga ndio maana anaasema chama chetu kinachukiwa sana, na kusemwa kwamba uongozi ni wakununua tu, so anajua wananchi wengi hawakotayari kuona wizi unaendelezwa na ccm.
Sasa kwa sababu wao ccm wanajeshi la polisi, usalama wa taifa uchwaara, na matakukuru jina tu watafanya kila njia kuhakikisha wanabaki madarakani, Sisi tujilinde wenyewe hata ikibidi kwa kulipana posho tu, watatuuua sana mpaka 2015 hamtaamini kama hii ndio tanzania...
Mungu wetu fanya kitu juu ya hawa wezi, mashetani yasiyo na huruma, yatatokea mengi sana nduguzangu...ndio maana jk yuko kimya anzia mara, songea, morogoro, iringa, zanzibar, udini(uamsho) nakadhalika, Mungu ampe nguvu kamanda.... Pamoja tutashinda