ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
kweli mkuu nimeanza kuziona rangi za ccm halisi. Na ni hatari kwa mustakabali wa taifa letu!Tumesema mara kadhaa kwamba hawa watu ni wakatili kuliko hata KANU na ZANU PF. Tulikuwa hatujaona ukatili wao kwa sababu palikuwa hapajotokea chama cha kuwatisha kuwatoa madarakani. Bahati mbaya walio nayo ni kwamba watanzania wa leo hawatishiki tena na kwa hakikia hawana uwezo wa kuwaua watu wote wanaotaka mabadiliko katika nchi hii. Huu unyama wanaouendeleza utasaidia tu kuharakisha kuondoka kwao madarakani.
Tunamuombea huyo kamanda huko Shinyanga Mungu amuponye.