Lilihusisha watu watatu MWAFRIKA, MZUNGU na MUHINDI. Akaanza kujamba mwafrika amewekewa mic duh mpaka tilles zikapasuka watu wakashangilia sana ikaja zamu ya mzungu alijamba mpaka vioo vya magari vikapasuka zamu ikawa ya muhindi akajamba kaushuzi kadogo wacha watu wamzomee. pembeni yanapofanyika hayo mashindano kuna kanisa akatoka padri akasema huyo alojamba mwisho(mhindi) ndo mshindi watu waka:lol:zomea akawaambia njooni muone watu kuingia kanisani wakaona yesu katoa mikono msalabani kaziba pua