kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
MAHALI:SEHEMU YOYOTE YENYE ACCES YA INTERNET
MASHARTI YA KUJIUNGA
lazima uwe mwanachama wa jf kwa kipindi chote tangu JF inaanzishwa
lazima uwe ni mtu ambaye thread zako zinapata wachangiaji wengi hata kama thread hizo ni za kipuuzi
wanachama wa JF waliobobea katika kuchangia topic za siasa na mapenzi watapewa upendeleo maalum wa kujiunga na shindano