shinda mamilioni na sms

chechekali

Member
Oct 18, 2010
33
14
Dakika chache zilizopita serikali ya Kenya imefuta leseni ya kampuni ya 6969 ambayo imekuwa ikiendesha shindano la SMS ambapo watu wanatuma SMS kwa nambari hiyo na kuahidiwa kushinda milioni kadhaa za shilingi kila siku. Kila SMS inagharibu shilingi 69 za Kenya karibu dola moja. Hya mambo hata hapa kwetu tanznaia yapo...unaulizwa swali raisi ambalo kila mtu anaweza kul;ijibu ukipata unaylizwa tena jingine. lakin hawatoi vigezo kwa msingi wa:-

1:UMRI
2:KUTACHEZESHWA BAHATI NASIBU
3:IDADI YA WASHINDI PIA NI NDOGO SANA
Wadau hebu mawazo yenu katika hili
 
Hapa kwetu nchi yetu imegeuzwa shamba la bibi, walaji hatuna ulinzi wowote; vyombo vivyoundwa kwa kazi vinachapa usingizi na huku wajanja wanaendelea kuneemeka kwa kuwanyonya walaji kwa njia za kiujanja ujanja. Chukua hizi promotion zinazoendeshwa na kampuni za simu; nyingi ya protion hizo, hasa zinazoendeshwa na vodacom hazina uwazi wowote bali zinakuwa zimesukwa kwa namna ambayo huwe imelenga katika kuchota hisia za watu.
 
Nimewahi kutumia si chini ya laki mbili kucheza shindano la world cup la Zantel na Zain lakini sijaambulia hata buku licha ya kufikisha point milioni tatu kwa zantel na laki nane kwa Zain. Nadhani hizi msg zina usanii mwingi sana.
 
Umenena,
Huo huwa ni wizi mkubwa unafanywa, mimi niliwahi kuwa staff wa moja ya makampuni ya simu za mkononi kwa zaidi ya miaka 5 na nayajua hayo.
The gov't should ban hizo licence, ni booonge la usanii.
Hebu jiulize earnings zao ni kiasi gani mpaka watoe milioni 100, huu ni mfano tu..
 
Airtel (zain) ndio wanaongoza kwa wizi hapa nchini sijui kwa mitandao mingine lakini hawa airtel ni wezi sana,bahati nasibu zao zote ni feki na serikali inawaangalia tu.
 
Airtel (zain) ndio wanaongoza kwa wizi hapa nchini sijui kwa mitandao mingine lakini hawa airtel ni wezi sana,bahati nasibu zao zote ni feki na serikali inawaangalia tu.

Kwani hisa za serikali Celtel/Zain zimeyeyuka Airtel? kama zipo basi Serikali itakuwa inafaidika kama kweli wizi upo!
 
Back
Top Bottom