Kwanza peleka jukwaa la lugha alafu soma jibu langu:
Shimo: ni uwazi lenye kua na volume. Maana yake distance kati ya mdomo wa uwazi na mwisho ya uwazi kuna distance fulani na upande wa mwisho unakua umezibwa: shimo la taka
Tundu: Ni uwazi ambao distance kati ya mdomo na mwisho wa uwazi hakuna distance kubwa: Tundu la choo
Tobo: ni uwazi mdogo ambao una mpana mdogo na mara nyingi hua sio natural: tobo la nguo (hapa unaweza kulinganisha na neno KUTOBOA).
Ila tofauti kati ya hayo maneno inategemea na maeneo unapo yatumia.
Kuna wakati tunaongea kiswahili safi bila kufata haya: tundu la sindano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.