Labda niwe kilaza yaani nimeahindwa kukuelewa, ni mtamano gani huo unaouhusisha na hilo shimo? Ina maana gari hilo lililiingia hilo shimo na kusababisha hiyo break down kuja kuliondoa barabarani? Thread yako ina maswali mengi kuliko majibu maana hata sijaielewa kama ni taarifa au angalizo yaani full utata.
mkuu nilikuwa naendesha gari hivyo sikuweza kuangalia vizuri na nilichoona kwa haraka haraka ni kama nilivyoviadika hapo juu.... samahani kama nimekukwaza.... hope u not a blonde ei..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.