Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Baada ya wiki kadhaa ya kuporomoka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dollar ya Marekani ghafla imeanza kupanda... jana ilifikia hadi US$1 = Tshs 1,520 leo ghafla imepanda thamani na ku-gain kwa takribani shilingi 100 na sasa iko kwenye range za 1,430... wadau nini kimetokea na tutegemee nini?? Yeyote mwenye kujua sababu tafadhali atujuze.