Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Utajisikiaje pale unapompatia mam sap wako hela ya matumizi ya mwezi, kabulungutu kazito kidogo (kamafungwa kwenye bundles za ten ten) anazicheki halafu anauliza shilingi ngapi hizi (huku akiwa amekunja uso), bila hata kusema ahsante mume wangu... halafu wewe hapo umejikamua kinoma. TRA, pension na wenye madeni yao wamekamua, uko choka mbayaaaaaa.
Kama ungekuwa wewe ungelijibu nini
Kama ungekuwa wewe ungelijibu nini