Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Feb 27, 2011 #1 Najckia faraja kuwa mmoja wenu.naomben ushirikiano wenu.
Mpevu JF-Expert Member Nov 23, 2010 1,805 173 Feb 27, 2011 #2 Marhaaaba, karibu jamvini. Subiri kdg SHARIA unaletewa.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Feb 27, 2011 #3 Karibu sana jamvini, huyo hapo anaitwa Mpevu, wengine wanakuja!
Wakumwitu JF-Expert Member Jan 22, 2011 370 82 Feb 27, 2011 #4 Na huyo pia anaitwa Katavi. Karibu sana jamvini.
Wambandwa JF-Expert Member Dec 3, 2006 2,249 830 Feb 27, 2011 #6 Jf pasome kwanza, usikurupuke kuhoji au ku support, utkimbia mwenyewe. Kikubwa zaidi usije ukawa 'under cover agent', utbainika mapema kabla hujastuka!
Jf pasome kwanza, usikurupuke kuhoji au ku support, utkimbia mwenyewe. Kikubwa zaidi usije ukawa 'under cover agent', utbainika mapema kabla hujastuka!
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Feb 27, 2011 Thread starter #8 Wambandwa said: Jf pasome kwanza, usikurupuke kuhoji au ku support, utkimbia mwenyewe. Kikubwa zaidi usije ukawa 'under cover agent', utbainika mapema kabla hujastuka! Click to expand... asante kwa kunitahadharisha.
Wambandwa said: Jf pasome kwanza, usikurupuke kuhoji au ku support, utkimbia mwenyewe. Kikubwa zaidi usije ukawa 'under cover agent', utbainika mapema kabla hujastuka! Click to expand... asante kwa kunitahadharisha.
S shosti JF-Expert Member Dec 21, 2010 4,906 1,504 Feb 27, 2011 #9 mhh hizi shikamoo nazo:rain:ila karibu
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Feb 27, 2011 #10 sawa umeniamkia ila sijajua ka nimekuzidi au umenizidi,sio ishu mkuu karibu sana ila panachangamoto zake hapa muulize mohammed shossi
sawa umeniamkia ila sijajua ka nimekuzidi au umenizidi,sio ishu mkuu karibu sana ila panachangamoto zake hapa muulize mohammed shossi
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Feb 27, 2011 #11 Mpevu said: Marhaaaba, karibu jamvini. Subiri kdg SHARIA unaletewa. Click to expand... Sheria hizi hapa chini, ukizivunja unapewa BAN... JamiiForums Disclaimer and Rules
Mpevu said: Marhaaaba, karibu jamvini. Subiri kdg SHARIA unaletewa. Click to expand... Sheria hizi hapa chini, ukizivunja unapewa BAN... JamiiForums Disclaimer and Rules
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Feb 27, 2011 Thread starter #12 Katavi said: Sheria hizi hapa chini, ukizivunja unapewa BAN... JamiiForums Disclaimer and Rules Click to expand... asante ndugu katav.
Katavi said: Sheria hizi hapa chini, ukizivunja unapewa BAN... JamiiForums Disclaimer and Rules Click to expand... asante ndugu katav.
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Feb 27, 2011 Thread starter #13 shosti said: mhh hizi shikamoo nazo:rain:ila karibu Click to expand... kwan hupend shikamoo shost?
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Feb 27, 2011 Thread starter #14 mikatabafeki said: sawa umeniamkia ila sijajua ka nimekuzidi au umenizidi,sio ishu mkuu karibu sana ila panachangamoto zake hapa muulize mohammed shossi Click to expand... mwez wa tatu natimza miaka 22 so nljhc mayb ni mdogo sana ndo maana nkaanua kutoa shkamoo ya ujumla,ila thanx kwa kunkarbsha mikatabafeki.
mikatabafeki said: sawa umeniamkia ila sijajua ka nimekuzidi au umenizidi,sio ishu mkuu karibu sana ila panachangamoto zake hapa muulize mohammed shossi Click to expand... mwez wa tatu natimza miaka 22 so nljhc mayb ni mdogo sana ndo maana nkaanua kutoa shkamoo ya ujumla,ila thanx kwa kunkarbsha mikatabafeki.
Lily Flower JF-Expert Member Oct 16, 2009 2,553 1,197 Feb 27, 2011 #16 Marahaba, karibu sana hapa kijijini JF kuna mwanajf amekutahadharisha na swala la kukurupuka nami natilia mkazo hapo, all the best.
Marahaba, karibu sana hapa kijijini JF kuna mwanajf amekutahadharisha na swala la kukurupuka nami natilia mkazo hapo, all the best.
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Feb 27, 2011 Thread starter #17 Lily Flower said: Marahaba, karibu sana hapa kijijini JF kuna mwanajf amekutahadharisha na swala la kukurupuka nami natilia mkazo hapo, all the best. Click to expand... asante da lily,ntaufanyia kaz ushaur wako na wa wana jf wengne!
Lily Flower said: Marahaba, karibu sana hapa kijijini JF kuna mwanajf amekutahadharisha na swala la kukurupuka nami natilia mkazo hapo, all the best. Click to expand... asante da lily,ntaufanyia kaz ushaur wako na wa wana jf wengne!
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Feb 27, 2011 Thread starter #18 Nyadhiwa said: Marhaba KAribu sana mdogo wangu! Click to expand... asante mkubwa wangu.