naona wanawake ni wabishi tu asilimia kubwa ya wanawake ni wadogo kiumri kwa ume zao ukimwamkia shikamoo mmeo hutaitwa mwanamke? au utakuwa umedharaulika sana? mimi naona nijambo la kawaida tu sasa unakuta mme ammemzidi mwamnamke miaka 10 zaidi unategemea nini hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.