Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
hehehehe
ah jamaa anahitaji msaada walah
Haswaaaa lasivyo anamatatizo kwenye kichwa chake.
Anamaanisha hata watoto wakimsalimia 'shikamoo' mzee huyoooo anashtuka duh hii kali mzee.
hehehehe
ah jamaa anahitaji msaada walah
Mi kama nimekudhidi umri unaniamkia hivyo hapo hapo unapokea kibao kisha nakwambia marhaba lazima unipe heshima yangu kama mmeo lol
tumepishana 6 yrs nimpe shikamoo?...ungekuwa wangu wewe inaonekana kila kukicha ingekuwa ngumi mkononi...lol
sasa hutaki honey? mi mkubwa kwako alafu hutaki kunipa haki yangu...kisa tunajiexpress ahaaaa hii no! mi kwangu makofi tu.
Sema Nyamayao upo likizo nn sikuoni mama.
shikamoo nayo ni haki yako ma love?...haki yako mukitanda....lol... swity majukumu/kazi zinanizidi umri but tupo pamoja.
haya mama karibu tena.
Yes nayo si salaam au unataka uniambia hata kunisalimia sio haki yangu ni kimya kimya tu?
ndio maana nakuambia "mambo babaa, za utokako babaa, kwema babaa"...kwenye shikamoo utanisamehe love.
kwani mama ukisema shikamoo utapungukiwa na nn?
Kwa hiyo unaona bora umpe shikamoo mtu baki tu aliyekuzidi umri wa nje kuliko mie mmeo aaaaaahh hii hapana...na mimi nisalimie tena kwa unyenyekevu hata usiku tulikuwa pamoja.
Nyamayao mama hapo nimekubali.
Nikikwambia mambo vp wewe unajibu safi usiseme poa wewe sema safi kisha shikamoo baba. Hapo sawa.
wanapaswa kupewa heshima piaHapa naona mazungumzo yote yamelenga kwenye mume akimzidi umri mke.
Je mke akiwa amemzidi umri mume....naye aamkiwe kila siku...?
we Preta wewe, umwamkie mumeo unataka kumnyima haki yake?
kuna wanandoa wanasalimiana shikamoo? Sasa si utumwa na ukoloni huo jamani
...... lakini kwa maoni yangu mke na mume hata kama kuna gap kubwa kiumri kati yao haipendezi mmoja kumpa shikamoo mwingine.
Mimi naamkia "Shikamoo baby"
nami huwa naitikia marhabaa bebi yangu