kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Wakuu,
Nimekuwa nikikumbana na changamoto nyingi sana katikamaisha lakini kubwa ni wanawake kutaka niwe nao kimapenzi.
Nilifikiria nikaona njia ya pekee ya kuwaepuka ni kuwaheshimu. Siunajua ukimtazama mtu usoni unatambua interest zake? Sasa dawa yao kili nikistukia tu ni 'shikamo dada, shikamo mama'.
Wadada wamehamua kuja juu...wanadai nawadharau. Nashindwa kujua kimaadili ipi ni sawa. Kusalimia ama kunyuti?
Wengine wanasema ni wadogo zangu/tunalingana...sasa eti ikitokea akazaliwa mtoto kwenu anayelingana na mjukuu wako lakini ni mtoto wa wazazi wako haitoshi akiwa dada yako hata kama umepita na umri wa miaka 40++?
Mimi ntawasalimia...sidanganyiki.
Nimekuwa nikikumbana na changamoto nyingi sana katikamaisha lakini kubwa ni wanawake kutaka niwe nao kimapenzi.
Nilifikiria nikaona njia ya pekee ya kuwaepuka ni kuwaheshimu. Siunajua ukimtazama mtu usoni unatambua interest zake? Sasa dawa yao kili nikistukia tu ni 'shikamo dada, shikamo mama'.
Wadada wamehamua kuja juu...wanadai nawadharau. Nashindwa kujua kimaadili ipi ni sawa. Kusalimia ama kunyuti?
Wengine wanasema ni wadogo zangu/tunalingana...sasa eti ikitokea akazaliwa mtoto kwenu anayelingana na mjukuu wako lakini ni mtoto wa wazazi wako haitoshi akiwa dada yako hata kama umepita na umri wa miaka 40++?
Mimi ntawasalimia...sidanganyiki.