MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Oooohoooo, watanzania kwishney
Thamani ya shilingi yazidi kuporomoka dhidi ya US $.
Bei za vitu zitazidi kupanda bei
Kipato cha mtanzania kipo pale pale au kipato kinaweza kupungua.
Sasa Tanzania tumefika pabaya, haya ni matokeo ya kutowajibika na ufisadi
Mission town (kimjini mjini)
Watoto wa vigogo wachache wananeemeka wakati mamillioni ya watanzania wanataabika
Mkuu nakubaliana na wewe ila ungeweka convincing statistics ningeshukuru sana. Hebu jaribu ku- dig deep down kama msomi mkuu kwani tunahitaji sana wa TZ wa namna hiyo ili kuonyesha kwamba sasa to get away with cheap political economy theories.