Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeshangaa anavyo wahimiza makamanda wake wa green guard eti wakae tayari kupambana na chadema hadi kieleweke. eti kisa chadema wameua katibu wa ccm iramba so ccm eti wajiandae kujibu mapigo.
Unawashtua wakarabati magereza tena?lol!Ccm wafanye mpango wa kukarabati magereza, yawe katika hali nzuri, kwani tunapoelekea huku, baada ya 2015 watu watafungwa mno...
Ktk taarifa ya habari ya chanel teni nimemuona katibu mkuu wa uvccm Martin shigella akitangaza kwamba vijana wao wa ulinzi kuwa tayari na mapambano dhidi ya chadema. Kauli hiyo ameitoa kutokana na mauaji ya jana ya mwanachama wao iliyotokea huko singida ktk mkutano wa hadra wa cdm. Amesema huyo aliyeuwawa ni kiongozi wao wa chama ,
je kama ni kiongozi alifata nini kwenye mkutano wa chadema?
Shigella are bacteria that can infect the digestive tract and cause a wide range of symptoms, from diarrhoea, cramping, vomiting, and nausea, to more serious complications and illnesses. Infections, called shigellosis, sometimes go away on their own; in others, antibiotics can shorten the course of the illness
Vijana tupo tayari kwa mapambano, hasa mapambano dhidi ya huyu mkoloni mweusi ccm. Vijana msiogope ktk ukombozi huu, muwe tayari kufadhidi ya hawa wezi wa Taifa hili. Vijanaaaa mbeleeee nyuma mwiko.
Ktk taarifa ya habari ya chanel teni nimemuona katibu mkuu wa uvccm Martin shigella akitangaza kwamba vijana wao wa ulinzi kuwa tayari na mapambano dhidi ya chadema. Kauli hiyo ameitoa kutokana na mauaji ya jana ya mwanachama wao iliyotokea huko singida ktk mkutano wa hadra wa cdm. Amesema huyo aliyeuwawa ni kiongozi wao wa chama ,
je kama ni kiongozi alifata nini kwenye mkutano wa chadema?
....
Anawayawaya tu!!
Ndicho walichokuwa wanakitaka....!!
Hawana vijana!! wa mapambano!! poa tu!!
Hakuna amani inapatikana kwa ncha ya panga!
..
Hivi hii nchi tuna Ma-Amiri Jeshi Wangapi? Na huyu Shigella Shiggae ni mmoja wao?
Wewe ni kijana kilaza ndiyo maana unatumika bila kujitambua vijana wenye akili timamu hawawezi tumika kama utumikavyo wewe,tunajua chadema mko tayari kwa vurugu ndiyo maana mnaanzisha fujo kila kukicha sasa kaeni mkijua usimuone kobe kainama ukazani fara nyie anzisheni sisi tutamaliza kabisa kama hamuamini mtaona!
Ktk taarifa ya habari ya chanel teni nimemuona katibu mkuu wa uvccm Martin shigella akitangaza kwamba vijana wao wa ulinzi kuwa tayari na mapambano dhidi ya chadema. Kauli hiyo ameitoa kutokana na mauaji ya jana ya mwanachama wao iliyotokea huko singida ktk mkutano wa hadra wa cdm. Amesema huyo aliyeuwawa ni kiongozi wao wa chama ,
je kama ni kiongozi alifata nini kwenye mkutano wa chadema?