anasema CDM muangalie viongozi wenu kama wako responsible.
Na kaongelea kuangalia mfumo wa dini, ili siasa ziwe za amani, sijamwelewa hapa, msaada tafadhali.
Haka kajamaa kama si kutumia nguvu za giza, hakakustahili hata kupewa ujumbe wa nyumba kumi!anasema CDM muangalie viongozi wenu kama wako responsible.
Na kaongelea kuangalia mfumo wa dini, ili siasa ziwe za amani, sijamwelewa hapa, msaada tafadhali.
anasema CDM muangalie viongozi wenu kama wako responsible.
Na kaongelea kuangalia mfumo wa dini, ili siasa ziwe za amani, sijamwelewa hapa, msaada tafadhali.
Nimemsikia kwenye ITV, kusema ukweli jamaa ni mweupe sana upstairs na angeficha upumbavu wake kwa kukaa kimya!, ni kwa kuzungumza ndio nimemfahamu ukilaza wake!.
Hoja yake amewataka viongozi wa Chadema wajitathmini bado wako wakifanya nini ili hali kumetokea vifo 4 kwenye mikutano ya Chadema?!, akimaanisha walipaswa kuwa wameshajiuzulu long time ago!.
Kwa kauli hii anamaanisha japo wanaofanya mauaji ni polisi, wanaosababisha mauaji hayo ni viongozi wa Chadema!. Kwa lugha rahisi, huyu juha wa UVCCM amejustfy hii Police brutality na kuutwika uongozi wa Chadema!.
Viongozi wa aina ni ni muhimu sana kwa sababu ndio wanaifanya kazi ya ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania iwe rahisi zaidi!.