Katibu mkuu wa uvccm MARTIN SHIGELA, Amelitaka jeshi la polisi nchini kuwakabidhi uvccm jukumu la ulinzi. Akiongea na waandishi wa habari jana alisema wao kama umoja wa vijana ccm wamechoka na uvunjifu wa amani unaofanywa na chadema. Source magazeti ya leo.. My take: Hawa uvccm wanajiamini nn nao siku izi wanajeshi? Je hawaoni hata nguvu ya jeshi lao na mabomu ya machozi na maji yakuwasha ila wanazidiwa. Huyu shigela anaropoka kwa kutumia kifaa gani katika utashi wake?.
Katibu mkuu wa uvccm MARTIN SHIGELA, Amelitaka jeshi la polisi nchini kuwakabidhi uvccm jukumu la ulinzi. Akiongea na waandishi wa habari jana alisema wao kama umoja wa vijana ccm wamechoka na uvunjifu wa amani unaofanywa na chadema. Source magazeti ya leo.. My take: Hawa uvccm wanajiamini nn nao siku izi wanajeshi? Je hawaoni hata nguvu ya jeshi lao na mabomu ya machozi na maji yakuwasha ila wanazidiwa. Huyu shigela anaropoka kwa kutumia kifaa gani katika utashi wake?.
Katibu mkuu wa uvccm MARTIN SHIGELA, Amelitaka jeshi la polisi nchini kuwakabidhi uvccm jukumu la ulinzi. Akiongea na waandishi wa habari jana alisema wao kama umoja wa vijana ccm wamechoka na uvunjifu wa amani unaofanywa na chadema. Source magazeti ya leo.. My take: Hawa uvccm wanajiamini nn nao siku izi wanajeshi? Je hawaoni hata nguvu ya jeshi lao na mabomu ya machozi na maji yakuwasha ila wanazidiwa. Huyu shigela anaropoka kwa kutumia kifaa gani katika utashi wake?.
Yule jamaa ni masaburi mwili mzima.
Katibu mkuu wa uvccm MARTIN SHIGELA, Amelitaka jeshi la polisi nchini kuwakabidhi uvccm jukumu la ulinzi. Akiongea na waandishi wa habari jana alisema wao kama umoja wa vijana ccm wamechoka na uvunjifu wa amani unaofanywa na chadema. Source magazeti ya leo.. My take: Hawa uvccm wanajiamini nn nao siku izi wanajeshi? Je hawaoni hata nguvu ya jeshi lao na mabomu ya machozi na maji yakuwasha ila wanazidiwa. Huyu shigela anaropoka kwa kutumia kifaa gani katika utashi wake?.
he using Masaburi device!!
hapo kwenye bold mhuuuuuu???? vagoshaaaa!!!!!!!!!!!Kumbe? Itabid nimtafute huyo shigela.. Yule mstaafu wa ATCL keshakuwa used sana.. Ni wangapi washawah kumCameron huyo Martin?
Uvccm kuna watu 2 tu wenye akili nao ni Hussein Bashe na Benno Malisa.
Katibu mkuu wa uvccm MARTIN SHIGELA, Amelitaka jeshi la polisi nchini kuwakabidhi uvccm jukumu la ulinzi. Akiongea na waandishi wa habari jana alisema wao kama umoja wa vijana ccm wamechoka na uvunjifu wa amani unaofanywa na chadema. Source magazeti ya leo.. My take: Hawa uvccm wanajiamini nn nao siku izi wanajeshi? Je hawaoni hata nguvu ya jeshi lao na mabomu ya machozi na maji yakuwasha ila wanazidiwa. Huyu shigela anaropoka kwa kutumia kifaa gani katika utashi wake?.
Anafikiria na masaburi .com au anaota sio lazima ulale ndio uote unaweza ukawa unatembea huku unaota kama huyu pimbi wa ccm
Kwani magamba wmelisajili lile green guard lao au wanataka kutumi al-shababKumbe jeshi la polisi limeshindwa kazi?