Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Kama kuna wanasiasa wanaokenua na meno yote 42 yanaonekana ni Shibuda na Selelii ambao wamejikomboa kwa kukimbia kutoka CCM.
Je wanaujua wimbo wa Mshike, mshike ndege tunduni tuliowajanja tumekimbia x2.
Shibuda na Selelii wamekuwa ndege wajanja.
Je wanaujua wimbo wa Mshike, mshike ndege tunduni tuliowajanja tumekimbia x2.
Shibuda na Selelii wamekuwa ndege wajanja.