samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Ameyasema hayo huku akisisitiza kua kitendo cha maaskofu kuendelea kumuandama Raisi Jk mara kwa mara si cha kiungwana huku akiwa amefanya mambo mengi huku akiungwa mkono na BAKWATA huku wao wakisema Rais amefanya mambo mengi mazuri kwenye kipindi chake cha uongozi.
Source: Gazeti Jambo Leo
huyu jamaa hatamkewe na wanae wanakazi,maana ni unstable anaweza ikana familia yake siku moja!