assuredly4
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 1,216
- 220
Kuna mtu anasema eti wakristo ndio mafisadi, je kwani waislamu sio mafisadi, ngoja nieleze kidogo
wakati Nyerere akiwa rais nchi ilikuwa na maendeleo mazuri, kulikuwa na viwanda vya nguo, viatu nakadhalika, huyu mkristo,alikemea rushwa kwa nguvu zake zote
wakati Mwinyi akiwa rais nchi ilifilisika, ikabaki ombaomba, hakukemea rushwa, ndicho kipindi watumishi wengi wa umma waliacha kazi na kufanya biashara, kwani utumishi ulikuwa hauna sifa tena, huyu alikuwa muislamu, hakukemea rushwa bali aliuza baadhi ya mashamba ya Serikali nchini. Pia aliuza mbuga ya Loliondo kwa Sultani wa Oman/Emirates- tuna nchi Mpya katika mbuga ya Loliondo, mbona waisalmu hamusemi, hatujasahau, ukiingia mbugani unakaribishwa kwa kuambiwa umeingia katika falme za kiarabu na unakaribishwa, waisalmu mupo, aliacha nchi maskini ikiwa na nchi nyingine mpya ilizoliwa ndani ya nchi ya Tanzania
Alipokuja Mkapa kaimarisha uchumi pamoja na upungufu wake lakini kaicha nchi ina fedha ya kutosha kujiendesha bila kukusanya kodi kwa kipindi kirefu
Alipokuja Kikwete ametumia vibaya fedha za Hazina, safari zake zimekuwa nyingi kuliko Marais wengi waliowahi kuwepo madarakani, ufisadi umezidi, IPTL,richmondi, dowans, songas, ardhi za wanachi zimeporwa na kupewa wawekezaji, watanzania wameuawa kwa risasi migodini, wamenyanga'anywa ardhi zao bila fidia na wazungu wanaovuna mali za nchi bila kupanda na wanalindwa kwa FFU na Jeshi kwa nguvu na mitutu mingi hali kwa kutumia kodi za wananchi
Maovu katika uongozi wa Kikwete hayavumiliki na hayahesabiki, huyu ni muisalmu mbona waisilamu hamusemi, kikwete hajamaliza muhula wake lakini nchi imebaki maskini na ombaomba kuliko kipindi cha Mkapa. Haya angalia Kikwete ameshindwa kukusanya kodi kwa wahindi na wafanyabiashara mafisadi waliokiteka chama chake. sasa hivi kikwete hana hata sauti ndani ya chama kwasababu sio msafi
kuhus Shibuda, huyu ni gamba ndiyo maana hata CDM walipompokea, walimpokea kwa tahadhair hakupewa nyadhifa za juu na nasikia katika katika vikao vya CDM hatawkiwi kuhudhuria ili asije akatoa siri za chama kwa mafisadi na chama chao cha kifisadi cha CCM. Hivyo, tunamjua kuliko ninyi CCM na mafisadi wenu.
mm napita waislamu msirukie kwenye dini toeni hoja zenye msingi
wakati Nyerere akiwa rais nchi ilikuwa na maendeleo mazuri, kulikuwa na viwanda vya nguo, viatu nakadhalika, huyu mkristo,alikemea rushwa kwa nguvu zake zote
wakati Mwinyi akiwa rais nchi ilifilisika, ikabaki ombaomba, hakukemea rushwa, ndicho kipindi watumishi wengi wa umma waliacha kazi na kufanya biashara, kwani utumishi ulikuwa hauna sifa tena, huyu alikuwa muislamu, hakukemea rushwa bali aliuza baadhi ya mashamba ya Serikali nchini. Pia aliuza mbuga ya Loliondo kwa Sultani wa Oman/Emirates- tuna nchi Mpya katika mbuga ya Loliondo, mbona waisalmu hamusemi, hatujasahau, ukiingia mbugani unakaribishwa kwa kuambiwa umeingia katika falme za kiarabu na unakaribishwa, waisalmu mupo, aliacha nchi maskini ikiwa na nchi nyingine mpya ilizoliwa ndani ya nchi ya Tanzania
Alipokuja Mkapa kaimarisha uchumi pamoja na upungufu wake lakini kaicha nchi ina fedha ya kutosha kujiendesha bila kukusanya kodi kwa kipindi kirefu
Alipokuja Kikwete ametumia vibaya fedha za Hazina, safari zake zimekuwa nyingi kuliko Marais wengi waliowahi kuwepo madarakani, ufisadi umezidi, IPTL,richmondi, dowans, songas, ardhi za wanachi zimeporwa na kupewa wawekezaji, watanzania wameuawa kwa risasi migodini, wamenyanga'anywa ardhi zao bila fidia na wazungu wanaovuna mali za nchi bila kupanda na wanalindwa kwa FFU na Jeshi kwa nguvu na mitutu mingi hali kwa kutumia kodi za wananchi
Maovu katika uongozi wa Kikwete hayavumiliki na hayahesabiki, huyu ni muisalmu mbona waisilamu hamusemi, kikwete hajamaliza muhula wake lakini nchi imebaki maskini na ombaomba kuliko kipindi cha Mkapa. Haya angalia Kikwete ameshindwa kukusanya kodi kwa wahindi na wafanyabiashara mafisadi waliokiteka chama chake. sasa hivi kikwete hana hata sauti ndani ya chama kwasababu sio msafi
kuhus Shibuda, huyu ni gamba ndiyo maana hata CDM walipompokea, walimpokea kwa tahadhair hakupewa nyadhifa za juu na nasikia katika katika vikao vya CDM hatawkiwi kuhudhuria ili asije akatoa siri za chama kwa mafisadi na chama chao cha kifisadi cha CCM. Hivyo, tunamjua kuliko ninyi CCM na mafisadi wenu.
mm napita waislamu msirukie kwenye dini toeni hoja zenye msingi