Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
agombee ila asisahau kujipigia kura
akishinda tunamwachia chama!
we utakuwa wakili wa kujitegemea wa hii Bandi, Nenda ka google Circumstantial evidence halafu Mods watakuruhusu kufanya New edition ya Comment yako!
Chagga Jazz band hawawezi kubali, Baba mkwe wa bend si alisha sema Hawezi kumuachia chama mtu FROM NO WHERE
Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
Huyo lazima aungwe mkono na kambi ya kibaraka mwenzake zito. lengo la hawa watu wawili ni kutimiza utabiri wa wasira wa CDM kusambaratika kabla ya 2015.
Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe