Shibuda bado anaonekana ana genes za kijani kichwani mwake.
Ametoka juzi, it will take time maneno CCM kumtoka.
Ni kweli kabisa... he is not a robot for God sakeAmetoka juzi, it will take time maneno CCM kumtoka.
Point ni kuwa akiboronga wananchi hawata mrudisha hiyo utabiri wako wa kupiga bao ni kuusubiri ,ila kwa kauli hii kufikia hitimisho ni mapema hima hima watz ahaaaaaaaa,chama changu cha mafi..