Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
Shibuda anataka kufukuzwa CDM kwa sababu tu amechangia hoja ndani ya bunge kuhusu posho ameonyesha mawazo tofauti na akina Mbowe na kina Tundu Lissu!
Shibuda anayo haki ya kuwa na tofauti, na wanaostahili kumsakama ni wapiga kura wa Maswa. Angalia sasa Shibuda kumuudhi Mbowe tu, ubunge wake uko mashakani
Shibuda anayo haki ya kuwa na tofauti, na wanaostahili kumsakama ni wapiga kura wa Maswa. Angalia sasa Shibuda kumuudhi Mbowe tu, ubunge wake uko mashakani