Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...
mbona unajihami hivi ;ulitaka atkoee
MARANGU
ROMBO MASHATI
ROMBO MASURUALI
SANYAJUU
SANYA CHINI??WAPEN NAFASI WAJICHAGULIE HATA WANGECHAGUA BATA KUWAONGOZA
ndugu naona unazidi matusi
kivipi utuone watu wa shinyanga kuwa tunaweza ongozwa na bata?????????????????????? Bata atakuongoza wewe na mkeo na siyo sisi
(au unataka mfananisha shibuda na bata? Ndio anamatatizo yake ila sio kumwita bata.we hope he gona change kwani ameisoma namba bila kupenda)
thanks for this at least ma day gonna ends goodmkuu umewahi kuruka ila nimefuta kauli hapo juu bana m sijakomaa kama lema
nakutaka rwadhi na wana shy wote
CDM hawana viongozi zaidi ya wakina Shibuda, sasa wakimtoa Shibuda unataka ww ndio uwe mwenyekiti ili hali huwezi? Hongera Shibuda , wavue magamba na wenzako kwa kuwaambia ukweli
mpe mchawi akulelee mtoto bwana
nimeeleza yote haya si kwa chuki na shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...
Mbona unajihami hivi ;ulitaka atkoee
marangu
rombo mashati
rombo masuruali
sanyajuu
sanya chini??wapen nafasi wajichagulie hata wangechagua yoyote kuwaongoza
ndugu naona unazidi matusi
kivipi utuone watu wa shinyanga kuwa tunaweza ongozwa na bata?????????????????????? Bata atakuongoza wewe na mkeo na siyo sisi
(au unataka mfananisha shibuda na bata? Ndio anamatatizo yake ila sio kumwita bata.we hope he gona change kwani ameisoma namba bila kupenda)
Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.
Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...
Shibuda akaimu tu wakati uchunguzi wa kina ukifanyika juu yake. Nionavyo mimi ni mzuri kwa sababu yeye ni kiboko ya akina Mgeja wa CCM hapo Shy, lakini upande wa pili haya matamshi yake ya kukikebehi Chama na baadhi ya viongozi wenziwe ndo nashindwaga kumuelewa (ashakum si matusi), sababu hiyo akili inakuwa kama vile ya mvuta ban*** huyu Mzee wetu!
Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.
Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...
CDM hawana viongozi zaidi ya wakina Shibuda, sasa wakimtoa Shibuda unataka ww ndio uwe mwenyekiti ili hali huwezi? Hongera Shibuda , wavue magamba na wenzako kwa kuwaambia ukweli
Shibuda haiwezekani nafikili Mpendazoe anafaa zaidi au katibu awe mwenyekiti halafu atafutwe katibu mwingine