Shibuda awa mwenyekiti mpya CHADEMA mkoa wa Shinyanga

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.

Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...
 
...serious?? je, uteuzi huo wa baraza la mkoa utahitaji endorsement ya kamati kuu? anyway, Mpiganaji Slaa (PhD) na viongozi wengine wa CDM wamo humu JF wata-clerify hii kitu. Binafsi simfagilii Shibuda, namuona kama ni gamba kwa CDM?
 
Cha ajabu ni majira tuu ndio wameandika habari hiyo magazeti mengine hawajaandika kitu,
 
hata mie presha inashuka huyu ni rahisi sana hata kuhadaiwa pia uswahili umemjaa sana anaweza kufanya lolote wakati wowote
 
Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.

Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...

dont worry ..... ana kaimu tu mpaka uchaguzi utakapo fanyika...... hii ni kilemba cha ukoka
 
Hata mi nimeshtuka sana,
hili lijamaa ni ccm damu, sijui wamefikiria nini hao watu wa shinyanga? Ok tusubiri maelezo!
 
Siku zote Shibuda huwa haaminiki kwani mara nyingi anachoongea huwa tofauti na kilicho moyoni mwake au matendo yake, huyu bwana alikuwa/au bado ni UWT sasa vipi kupewa nafasi nyeti ndani ya CDM? ni sawa na leo umchukue Mbowe awe mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro kweli hiyo itakuwa imetulia? kwa mtindo huu wasiwasi yangu ni kupoteza majimbo yote ya Shinyanga, WHY NOT MPENDAZOE OR OTHERS THAN SHIBUDA?...Dr Slaa alikuwepo, Mbowe alikuwepo sasa tunaomba ufafanuzi wenu!
 
Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.

Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...

CDM hawana viongozi zaidi ya wakina Shibuda, sasa wakimtoa Shibuda unataka ww ndio uwe mwenyekiti ili hali huwezi? Hongera Shibuda , wavue magamba na wenzako kwa kuwaambia ukweli
 
Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.

Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...

Mpiganaji naungana na wewe.

Shibuda ni mtu hatari kwa uhai na mstakaballi wa CDM. Hivyo ni vizuri kukaa naye kwa uangalifu mkubwa!
Shibuda kwa sehemu kubwa anaonekana amehama KIMWILI toka CCM lakini AKILI/MAWAZO yote bado viko CCM. Matendo yake yanadhihirisha hivo. Juzi tu nilisikia akimshambulia Mbunge mwenzake wa CHADEMA jimbo la Ilemera kuwa aache kuto vitisho baada ya Mbunge huyo kutoa siku 90 kwa JWTZ kuhama maeneo fulani wanayoyakalia pale Mwanza mjini.

Kwa hiyo Shibuda anaonekana kuwa bado ni vuvuzela la CCM.Ni vizuri kama ataishia kukaimu hiyo nafasi tu. Itakuwa ni hatari sana kama atapewa hiyo nafasi moja kwa moja. Shibuda pamoja na kushinda Ubunge bado hajaweza kumfikia marehemu Shelembi hata kwa robo pc kwa umahiri na uongozi bora ambao umeijenga CHADEMA katika mkoa wa Shinyanga.

CHADEMA high authority zingatieni hilo. Tusije tukajikuta tunakiangamiza Chama chetu na kusambaratisha base yote aliyoijenga Mhe. Shelembi(RIP).
 
Jamani wana CDM mnakuwa na wasiwasi wa bure tu, huyu jamaa hata kabla hajaingia CDM viongozi wa juu walimjadili sana na wakagundua faida na hasara ya kuwa naye katika chama.

Lakini viongozi wa juu wakagundua kunafaida kubwa ya kuwa na Shibuda katika CDM hivyo mie nina imani naye sana na ni mtu ambaye yuko active sana. CDM wanachoangalia ni mtu kuwa muadilifu na ndiyo silaha kubwa kwa CDM. Mie naamnini kazi yake mtaiona na viongozi wa mkoa wa Shinyanga wanamkubali sana Shibuda, tumpeni muda akijenge chama kwani fitna za siasa za mkoa wa shinyanga anazifahamu sana..Poeplesssssssssssssss Power.
 
jana baraza kuu la chadema mkoa wa shinyanga limemtangaza john magale shibuda kuwa kaimu mwenyekiti wa mkoa wa shinyanga (soma majira la leo).habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli shibuda ametubu na kuutii uongozi wa taifa chini ya mh mbowe.??
Je,shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa chadema bungeni??
Si ni shibuda huyuhuyu aliyesema mh wenje hana adabu??
Si ni shibuda huyu huyu aliyesema chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa chadema huko bagamoyo??
Ikumbukwe shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.

Nimeeleza yote haya si kwa chuki na shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...
(ukaskazini unakusumbua)tatizo lenu chadema mnataka viongozi wote watokee kaskazini (moshi na arusha) yani watu kama kina zitto na shibuda wanapata tabu kweli kwenye hiki chama,sasa kama chadema kikitaka kife na kionekane ni chama cha wachaga basi wamstopishe shibuda kua mwenyekiti wa shinyanga chadema.nasikia mchezo mzima ameucheza zitto kabwe mwana mapinduzi kijana ambaye ndiyo roho ya uhai wa chadema
 
Jana Baraza kuu la CHADEMA Mkoa wa Shinyanga limemtangaza John Magale Shibuda kuwa Kaimu Mwenyekiti wa mkoa wa Shinyanga (Soma majira la leo).Habari hizi zilinishtua kidogo nikawa na maswali machache:
Kweli Shibuda ametubu na kuutii uongozi wa Taifa chini ya Mh Mbowe.??
Je,Shibuda ataacha kutofautiana na viongozi wenzake hasa wabunge??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyekashifu wabunge wa Chadema bungeni??
Si ni Shibuda huyuhuyu aliyesema Mh Wenje hana adabu??
Si ni Shibuda huyu huyu aliyesema Chadema ni mkusanyiko wa wanaharakati wasio wanasiasa??
Je,Shibuda si alileta vurugu kwenye vikao vya wabunge wa Chadema huko Bagamoyo??
Ikumbukwe Shibuda ni mbunge pekee wa jimbo ambaye hakupewa wizara kivuli bungeni.

Nimeeleza yote haya si kwa chuki na Shibuda bali changamoto kwake kwamba alikuwa amepoteza imani na wanachama wengi kwa matendo yake yasiyotabirika na anapaswa kurejesha heshima yake kwa kutii viongozi wa chama na wabunge wa chama chake...

Hapo penye nyekundu nakukumbusha tu ni Wenje yule yule aliwaambia wenzake wana uroho wa kula nyama kwenye sherehe
 
(ukaskazini unakusumbua)tatizo lenu chadema mnataka viongozi wote watokee kaskazini (moshi na arusha) yani watu kama kina zitto na shibuda wanapata tabu kweli kwenye hiki chama,sasa kama chadema kikitaka kife na kionekane ni chama cha wachaga basi wamstopishe shibuda kua mwenyekiti wa shinyanga chadema.nasikia mchezo mzima ameucheza zitto kabwe mwana mapinduzi kijana ambaye ndiyo roho ya uhai wa chadema

Hivi marehemu Shelembi alikuwa mchaga kutoka Kilimanjaro au Mmasai, mmeru ... kutoka Arusha??? Kazi kweli kweli
 
(ukaskazini unakusumbua)tatizo lenu chadema mnataka viongozi wote watokee kaskazini (moshi na arusha) yani watu kama kina zitto na shibuda wanapata tabu kweli kwenye hiki chama,sasa kama chadema kikitaka kife na kionekane ni chama cha wachaga basi wamstopishe shibuda kua mwenyekiti wa shinyanga chadema.nasikia mchezo mzima ameucheza zitto kabwe mwana mapinduzi kijana ambaye ndiyo roho ya uhai wa chadema
Hapo blue craaaaaaaaaaaaap
Mimi wa Songea nipo tayari kukifia CDM
Zitto hana uwezo wa kumburuza Dr.Slaa hata siku mmoja.Zitto alikosea na sasa anajirudi atakuwa kwenye form yake ya makali with time.
Shibuda ameisumbua CDM ila hakuleta mpasuko (minors have no effect) kwa hiyo hakuna kinachozuia kupewa ukaimu mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom