M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Kama sivyo alikwenda kufanya nini kwenye kikao cha CCM? Je, alikwenda kukusanya habari juu ya kile CCM inachokifanya ili aje ku share na wenziwe?
Najiuliza haya maswali sipati jibu. Mwenye kufahamu habari za ndani ajaribu kutu habarisha juu ya mwenendo wa shibuda.
Najiuliza haya maswali sipati jibu. Mwenye kufahamu habari za ndani ajaribu kutu habarisha juu ya mwenendo wa shibuda.