avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)Nani aliyekudanganya:
Hizo ni fashen tu tofauti lakini zote kanzu, hata ukitembea mitaani leo utakuta wanavaa kanzu tofauti kwa mikato, mishono, lakini zote kanzu tu.
Na hilo ndiyo vazi letu la Taifa kwa wanaume kwani linakubalika na dini zote, tabaka zote, hazijalishi maskini wala tajiri.
Mbona sijawahi kumwona akivaa vazi hilo hapa Tanzania, hapa yupo na kaunda suti tu, iweje anunue vazi la Afrika Magharibi anapoenda central Amerika, maana yake hana msimamo siyo? Mgona Slaa, Lisu na Mbowe mahakamani wanavaa shuka za kimasai? Ningempongeza angevaa lile vazi la wamang'ati wa Singida angetuwakilisha vizuri kiutamaduni.
Nani aliyekudanganya:
huyo ndo alivo kigeugeuMbona sijawahi kumwona akivaa vazi hilo hapa Tanzania, hapa yupo na kaunda suti tu, iweje anunue vazi la Afrika Magharibi anapoenda central Amerika, maana yake hana msimamo siyo? Mgona Slaa, Lisu na Mbowe mahakamani wanavaa shuka za kimasai? Ningempongeza angevaa lile vazi la wamang'ati wa Singida angetuwakilisha vizuri kiutamaduni.