Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Ujumbe kutoka Bunge la Tanzania ukiwa nchini Dominica wakiwamo Zungu na Shibuda
Sijaona tatizo hapo as far as tz hatuna vazi la taifa.
how? Can you explaini?mmmhhh job true true..
Mkuu, ulikuwa unamaanisha "Shibuda" au ni "Shibunda" kama heading yako inavyosomeka?
Mbona sijawahi kumwona akivaa vazi hilo hapa Tanzania, hapa yupo na kaunda suti tu, iweje anunue vazi la Afrika Magharibi anapoenda central Amerika, maana yake hana msimamo siyo? Mgona Slaa, Lisu na Mbowe mahakamani wanavaa shuka za kimasai? Ningempongeza angevaa lile vazi la wamang'ati wa Singida angetuwakilisha vizuri kiutamaduni.
Hakuna tatizo ni vazi la kiafrika. Tatizo lako ni la kiafrika magharibi? Hapo shida ipo wapi? Shida unaileta mwenyewe: ni kama mimi ninavyoweza kuileta shida kwa kukuuliza kwa nini avae kimang'ati wakati yeye ni msukuma (unamaanisha kimang'ati ndio kitanzania? Anawakilisha wamang'ati (subset) ama tanzania (set)? Unaona sasa shida zingine tunavyozitengeneza bila sababu ya msingi?
Mbona hao wanawake waliovaa suruari huwasemi? sema unamchukia Shibuda.
Hakuna hoja hapa, na sitaki kuamini kuwa walikwenda kuiwakilisha nchi kwa kuonyesha mavazi, ni hoja zake na alichojifunza huko ndio zingetuonyesha kama ameiwakilisha nchi vizuri au la na wala sio mavazi.
By the way kama unapenda sana mavazi ya kiasili basi ulipaswa kumpongeza Shibuda kwa kuvaa vazi la Ki-Afrika tofauti na wabunge wenzake wote waliovaa Kimagharibi.
Mfano yule mbunge wa kike aliyekwenda kwnye mikutano hivi karibuni huko nje na kuvaa kimasai huku kichwani kaweka mic ya kusikiliza utafsiri amenikuna kichwa, lakini wengi wetu tu waigaji wa ya kigeni na kubeza tamaduni zetu.
Sijaona tatizo hapo as far as tz hatuna vazi la taifa.
Unapowakilisha nchi si ushiriki wa vikao tu, mwonekano wako pekee unaweza kuitangaza nchi yako vizuri. Inaingia akiini mwako kwenda kutangaza matumizi ya ngamia huko mazingira ambayo si ya watanganyika ila ya north africa? Utavaa vali la King Mswati utakuwa unaitangaza Swaziland na si Tanzania. Tujivunie mambo yetu na wakiyaona watakuja kutalii, lakini vazi la shibuda linaeleweka kupeleka watalii west africa.
lakini FF hayo mengine ya kikatolika aka Roma italia na mengine ni ya ........ wastaarabu aka Mecca