Wewe unajua malengo ya chama cha siasa au unaropoka tu, ni pamoja na kuingiza wanachama kwa mbinu zozote zile.Wewe hujaelewa somo, tatizo si kwamba wasihame vyama. Mimi sitaki huu umalaya wa kisiasa na uroho wa madaraka wa kusubiri mpaka ushindwe primaries za ubunge ndio uhame chama. Kama unahama chama on principles bila tamaa ya madaraka poa tu, kaa miezi mitatu na kamisaa mnajadili mambo, soma literature za chama, unapigwa msasa watu wanakukubali.
Sio leo umelala CCM, kesho unaamka unakuwa CHADEMA, keshokutwa mbunge wa CHADEMA. Hata itikadi ya chama na sera zake hujui.
Mambo ya aibu hayo.