chibhitoke
Member
- Jun 1, 2010
- 60
- 12
Mkuu Kitila,
Hata kuzaliwa upya au kuokoka huja kwa kusikia neno, huyu neno kasikia lini. Hana tofauti na mtu anayehama dhehebu kwa vile kakosa cheo. Naheshimu uhuru wa mtu kuhama chama apendavyo ila kwa huyu jamaa nina wasiwasi naye. Je ana kitu cha ziada ambacho CHADEMA mtafaidika nacho kulinganisha na makombora ya Makamba kuwa huyo ni ''matapishi'' ya CCM. Kwa ufupi huyu jamaa hana staha ya kuwa CHADEMA labda kama chama chenu mmekuwa kokoro-sijui nimeandika sawa- lile linalovua samaki na matakataka mengine
Hata kuzaliwa upya au kuokoka huja kwa kusikia neno, huyu neno kasikia lini. Hana tofauti na mtu anayehama dhehebu kwa vile kakosa cheo. Naheshimu uhuru wa mtu kuhama chama apendavyo ila kwa huyu jamaa nina wasiwasi naye. Je ana kitu cha ziada ambacho CHADEMA mtafaidika nacho kulinganisha na makombora ya Makamba kuwa huyo ni ''matapishi'' ya CCM. Kwa ufupi huyu jamaa hana staha ya kuwa CHADEMA labda kama chama chenu mmekuwa kokoro-sijui nimeandika sawa- lile linalovua samaki na matakataka mengine