mpiganaji jm
Member
- Feb 9, 2011
- 76
- 2
nimekua nikifuatilia bunge la kumi tangu lilipoanza, hakuna jipya zaidi ya kupigana vijembe na majungu, yaani kila mbunge anaye pata nafasi ya kuchangia huanza na kuilaumu chadema, hatakama tuhuma ni za uzushi, jamani fanyeni tuliyo watuma!!!!!!