MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Shibuda kwa uzoefu wake wa siasa mnafikiri amekurupuka? Anajua anachofanya,nilishasema nia njema ya cdm inaweza kufika wakati umma usiwaelewe kwa mikanganyiko kama hii tena ya wazi mno na utovu wa nidhamu uliopitiliza,kama nyerere aliona cdm kama chama makini wakati ule hakijawa popular hivi,wasione haya kubaki wabunge 2 lakini wanasimamia wanachoamini.aaaaghrr zile kauli kidogo nianguke,cdm safisha mamluki tusichanganye wananchi.