Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Alianza kwa kushukuru kama kawaida lakini baadae ni kama alikuwa mshahiri hivi kwa jinsi alivyokuwa akiongea mpaka kengele inagonga akaomba aendelee kama wabunge wataridhia.
Kiujumla siwezi kumquote accurate lakini alikuwa kama mahoka kwa jinsi alivyokuwa akichangia hoja bila mwelekeo. Haaaaah Shibuda ukiendelea hivi sijui kama utafika mbali?
Kiujumla siwezi kumquote accurate lakini alikuwa kama mahoka kwa jinsi alivyokuwa akichangia hoja bila mwelekeo. Haaaaah Shibuda ukiendelea hivi sijui kama utafika mbali?