Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mongoiwe,
Fanyia kazi ushauri wa dictator, tupe source mapema tugonge glasi za furaha
Mkuu DICTATOR, ni kweli Kamanda Shibuda ameachiwa kutoka mikononi mwa polisi kwa vile hakuhusika na tukio lililomfanya akamatwe. Lilikuwa ni shinikizo la viongozi wa CCM katika kutapatapa kwao. Nimeongea naye na amethibitisha hilo. Mapambano yanaendelea. Tujiandae kukabiliana na changamoto za ngwe hii ya mwisho kwani mafisadi wanakuja na hila nyingi, hawataki kung'oka kirahisi.Mkuu weka source hapa, maana wiki la mwisho hili kuna kila aina ya propaganda. Kama ameachiwa basi tusherehekee ushindi.
Mongoiwe,
Fanyia kazi ushauri wa dictator, tupe source mapema tugonge glasi za furaha
Nasikia huyu kijana aligaragara na kulia sana kwenye msiba kuliko wafiwa, hii yote ikiwa ni janja yakutafuta huruma ya waombolezaji, waipe kura chama yake na baba yake!Tulisikia Ridhiwani alikuwa huko Maswa sasa imekuwaje au ameshindwa kushinikiza abaki humo lupango hadi baada ya uchaguzi....