Willy sony
Member
- Apr 4, 2012
- 22
- 3
hatimaye shetta akaa jamvini na kufunga ndoa na mwanadashosti ambaye kashamtia mimba ina miez 7
Du kuna wazazi wana mambo,sasa huyu nae mkwe mwe!
sasa kashfa iko wapi hapo...unakuwa na mkwe hata kumtambulisha utauta nipishe huko!!!we acha kashfa lol
kwa nini asiwe mkwe lol
sasa kashfa iko wapi hapo...unakuwa na mkwe hata kumtambulisha utauta nipishe huko!!!
hahahahahahahah umeamua na kunilaani kabisa....sijui lakini maana watoto wa siku hizi wanaweza kukuletea kituko ukazimia mara 100,mungu aniepushie wallah maana na nilivyo itabidi watafute mama mkwe wa dharura!na wewe utakuja kupata wakwe hao......acha tu
lol
mie kikongwe mama mkwe wa nini mie,najiandaa kuwa mkwe mwenzio!duh!!uciombe ukaja kukatalia wew na mamamkwe!!utajuta kuolewa!