Habari zenu wana JF,
Naomba kuuliza sheria inasemaje kuhusu watoto wanaonyanyaswa na mama zao wa kambo?
Yaani asubuhi nimeamshwa na kelele za mtoto aliyekimbilia kwa jirani kujificha asipigwe na mama
yake wa kambo ambapo pia hakupata msaada kipigo kiliendelea humo ndani kwa watu.Mimi nadhani ni haki mzazi kumwadhibu mtoto wake lakini kuna kipimo si mpaka utoe damu na bado unadai utaua.Nimeulizia kwa majirani wanasema ni kawaida kwa huyo mtoto kupigwa na hakuna wa kuingilia sababu mama ni kama mbogo na baba yake hasemi neno mbele ya mama.Naomba msaada jinsi ya kumsaidia mtoto huyu.
Naomba kuuliza sheria inasemaje kuhusu watoto wanaonyanyaswa na mama zao wa kambo?
Yaani asubuhi nimeamshwa na kelele za mtoto aliyekimbilia kwa jirani kujificha asipigwe na mama
yake wa kambo ambapo pia hakupata msaada kipigo kiliendelea humo ndani kwa watu.Mimi nadhani ni haki mzazi kumwadhibu mtoto wake lakini kuna kipimo si mpaka utoe damu na bado unadai utaua.Nimeulizia kwa majirani wanasema ni kawaida kwa huyo mtoto kupigwa na hakuna wa kuingilia sababu mama ni kama mbogo na baba yake hasemi neno mbele ya mama.Naomba msaada jinsi ya kumsaidia mtoto huyu.