nikiwa kama machine operator wa mamlaka ya reli,imetokea ajari kwa behewa kotoka kwenye reli kutokana na ubovo wa machine yaani zimechoka,kwanza tokea wachina wazifunge mwaka 1975 hazija fanyiwa ukarabati ,.na je hapa kwetu tanzania tuna idara ipi inayohusika na ukaguzi wa ubora wa machine?