Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,821
Bunge letu ndio chombo mama cha kutunga sheria.
Lakini wengi wa wabunge hao sio wanasheria,
je hili ndilo linalotupelekea kuwa na sheria zenye wingi wa mapungufu?
Lakini wengi wa wabunge hao sio wanasheria,
je hili ndilo linalotupelekea kuwa na sheria zenye wingi wa mapungufu?