Sheria za Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu

Gmo P

New Member
Jul 3, 2012
1
0
Ninayo shida kidogo ndugu zangu kulingana na Sheria kuhusu Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu. Nahitaji kufahamu kwamba; Je mwanafunzi anayo haki ya kuishitaki Bodi pale inapokuwa imechelewesha kumpatia mkopo (fedha) kwawakati kama inavyotakiwa wakati mi mnufaika wa mkopo.?Na kama anaweza kushitaki anaweza kuomba fidia za gharama ambazo amezipata kutokana na kucheleweshwa kwa mkopo (fedha) hizo kutoka Bodi?
 
dah, mkuu we kua mpole tu maana kuishtaki ni sawa na kunyang'anyana kisu na serikali ilhali wewe umeshika makali!.
hua kuna mapungufu mengi sana kwenye taasisi za serikali katika kutoa huduma kwa mwananchi kisheria.
mfano kisheria ni kosa kuchelewa kulipa bili ya umeme tanesko, lakini wao wakikata umeme au mgao sheria haisemi kwamba ni kosa na wanapaswa kuwajibishwa.
maoni yangu tu, sijui mambo ya sheria.
 
Back
Top Bottom