Kweli Mabadiliko ya katiba Tz ni ya muhimu mno.Ukiwa mfanyakazi wa Serilaki na ukawa Front line kwenye Chama Cha Mapinduzi,hakuna atakaye kusumbua na kila atakaye jifanya kiherehere kukufatafata,hiki ya Mungu hana Bahati,cha moto atakiona...
Ila usiombe uwe Front line CDM au CUF na ugundulike,kwanza utaitwa kwa Mkurugenzi kama ni muajiliwa Halmashauri,utapigwa mkwara,na ukikaa vibaya kazi huna...
Why is like that?
Ila usiombe uwe Front line CDM au CUF na ugundulike,kwanza utaitwa kwa Mkurugenzi kama ni muajiliwa Halmashauri,utapigwa mkwara,na ukikaa vibaya kazi huna...
Why is like that?