Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 352
Hello Wana JF.
Nina Tatizo hapa la kisheria hapa....Sheria ya Uzazi makazini hapa nikiwa na maana kupata ujauzito kazini.
Inasemaje...ni miaka mingapi au ni muda gani baada ya kuajiriwa siku ya kwanza unatakiwa kubeba ujauzito?
Kuna tafsiri hapa inasema baada ya kuajiriwa kazini...unatakiwa kukaa kazini kwa miezi 36 ndio upate ujauzito
wa kwanza.
Nielewavyo mie ni baada ya kupata ujauzito wa kwanza..utakiwa kutumikia miezi 36 ili kupata maternity
leave ingine.Baada ya kwanza.....kinacho tokea hapa...wadada wawili wamenyimwa maternity leave katika
ujauzito wao wa kwanza kwa kuwa hawajafanya miezi 36 katika kampuni.Wajuzi wa sherie hapa inakaaje?
Regards
Buswelu
Nina Tatizo hapa la kisheria hapa....Sheria ya Uzazi makazini hapa nikiwa na maana kupata ujauzito kazini.
Inasemaje...ni miaka mingapi au ni muda gani baada ya kuajiriwa siku ya kwanza unatakiwa kubeba ujauzito?
Kuna tafsiri hapa inasema baada ya kuajiriwa kazini...unatakiwa kukaa kazini kwa miezi 36 ndio upate ujauzito
wa kwanza.
Nielewavyo mie ni baada ya kupata ujauzito wa kwanza..utakiwa kutumikia miezi 36 ili kupata maternity
leave ingine.Baada ya kwanza.....kinacho tokea hapa...wadada wawili wamenyimwa maternity leave katika
ujauzito wao wa kwanza kwa kuwa hawajafanya miezi 36 katika kampuni.Wajuzi wa sherie hapa inakaaje?
Regards
Buswelu