Sheria ya uchaguzi katika anga la Tanzania

Alvin Slain

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
6,375
3,655
Katika kipindi cha kuandaa katiba mpya nchini Tanzania kama mhimili wa dola,na vyombo vingine vya serikali pamoja na wananchi. Ni vema watanzania tukapendekeza sheria ya uchaguzi iwe kama ifuatayo 1)kila mwananchi aliyejiandikisha kwenye daftar la kudumu la wapiga kura ni lazima apige kura 2)mwananchi yeyote atakayeacha kupiga kura atakabiliwa na faini ya shilingi za kitanzani 90elf 3)atakayeacha kupiga kura wawe na sababu za msingi 4)wasimamizi wa mchakato huu watakuwa wenyeviti wa kata na vijiji nk NAWASILISHA!
 
dawa ni elimu ya uraia watu wajue wajibu wao. enforcement ya shera hii itakuwa ngumu maana asiyetaka kupiga kura hata akilazimishwa kwenda kituoni na hao wenyeviti anaweza kutumbukiza karatasi tupu na hutaweza kumjua ni nani.

Katika
kipindi cha kuandaa katiba mpya nchini Tanzania kama mhimili wa dola,na
vyombo vingine vya serikali pamoja na wananchi. Ni vema watanzania
tukapendekeza sheria ya uchaguzi iwe kama ifuatayo 1)kila mwananchi
aliyejiandikisha kwenye daftar la kudumu la wapiga kura ni lazima apige
kura 2)mwananchi yeyote atakayeacha kupiga kura atakabiliwa na faini ya
shilingi za kitanzani 90elf 3)atakayeacha kupiga kura wawe na sababu za
msingi 4)wasimamizi wa mchakato huu watakuwa wenyeviti wa kata na
vijiji nk NAWASILISHA!
 
Mkuu, kwenye katiba hiyohiyo kuna uhuru wa kuchagua au kuchaguliwa, kupiga au kutopiga kura ni hiari ya mtu. What if wagombea wote siwataki? Nakuwa neutral. Huwezi kuweka fine kwa mtu asiepiga kura kuna mambo mengi yanafanya mtu asipige kura, labda siku ya uchaguzi iwe public holiday kwa siku tatu, maana hata kwa siku mzima bado watu hukosa kupiga kura kwani muda huwa umeisha. Cha muhimu ni elimu ya uraia.
 
Back
Top Bottom